WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) WAPEWA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO WA UTENDAJI KAZI WA TAASISI HIYO
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed
Janabi akizungumza na wafanyakazi wakati wa mafunzo ya kuandaa mpango
mkakati wa utendaji kazi wa Taasisi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano.
Wafanyakazi
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfuatilia kwa makini
mwenzeshaji kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof. Andrew Mbwambo wakati wa
mafunzo ya kuandaa mpango mkakati wa utendaji kazi wa Taasisi hiyo
kwa kipindi cha miaka mitano.
Wawezeshaji
wa kuandaa mpango mkakati wa utendaji kazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) kwa kipindi cha miaka mitano kutoka Chuo Kikuu Cha Mzumbe
wakimsililiza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi
wakati akizungumza katika mafunzo hayo yaliyofanyika leo jijini Dar es
Salaam.
Wafanyakazi
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfuatilia kwa makini
mwenzeshaji kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof. AndrewMbwambo wakati wa
mafunzo ya kuandaa mpango mkakati wa utendaji kazi wa Taasisi hiyo
kwa kipindi cha miaka mitano.
Post a Comment