Mbunge wa Mkuranga kufunga Tamasha la SHIWATA.
TAMASHA la Sanaa na Michezo la Mtandao wa Wasanii Tanzania
(SHIWATA)linaanza kesho Ijumaa jijini Dar es Salaam ambako wasanii zaidi
ya 600 wanatarajia kushiriki.
Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa SHIWATA,Cassim Taalib
na kuongeza kuwa mgeni rasmi atakayegungua semina hiyo ni Katibu
Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Godfrey Mngereza.
Taalib alisema Mngereza atashuhudia michezo mbalimbali itakayoneshwa na wasanii na
wanamichezo na Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega atafunga tamasha hilo Jumamosi.
wanamichezo na Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega atafunga tamasha hilo Jumamosi.
Alisema tamasha hilo ambalo awali lilikuwa lifanyike kijiji cha Wasanii
Mkuranga limehamishiwa jijini Dar es Salaam sababu kubwa ya kuhamisha
tamasha hilo ni kutokana na mvua ya msimu uliopita kuharibu barabara ya
kwenda kijijini.
Mkuranga limehamishiwa jijini Dar es Salaam sababu kubwa ya kuhamisha
tamasha hilo ni kutokana na mvua ya msimu uliopita kuharibu barabara ya
kwenda kijijini.
Taalib alisema tamasha hilo sasa litafanyika kwa siku
mbili kuanzia kesho Ijumaa Julai 14.7.2017 na kuhitimishwa Jumamosi
Julai 15 mwaka huu katika
viwanja vya Chuo cha Uhazili, splendid Ilala Bungoni.
viwanja vya Chuo cha Uhazili, splendid Ilala Bungoni.
Alisema mpaka sasa wameanza kupokea wanamichezo kutoka sehemu
mbalimbali kama vile Mkuranga, Kibiti, Zanzibar na Morogoro ambao washiriki tamasha hilo.
mbalimbali kama vile Mkuranga, Kibiti, Zanzibar na Morogoro ambao washiriki tamasha hilo.
Baadhi ya michezo ambayo itafanyika ni sarakasi, Tae kwon-do, muziki
wa dansi, ngumi, soka,rede,muziki wa asili,wu shuu,ngoma,singeli na michezo
mingine.
wa dansi, ngumi, soka,rede,muziki wa asili,wu shuu,ngoma,singeli na michezo
mingine.
Alisema kampuni ya SBC wanaotengeneza soda za Pepsi ndiyo
wadhamini wakuu wa tamasha hilo na kuongeza kuwa milango iko wazi kwa
wadhamini wengine kujitokeza.
wadhamini wakuu wa tamasha hilo na kuongeza kuwa milango iko wazi kwa
wadhamini wengine kujitokeza.
Akizungumzia ujenzi wa nyumba zao kijijini alisema mgawo na
makabidhiano ya nyumba 14 ndogo,kubwa tatu na viwanja 35 vilivyopimwa
utafanyika Julai 16 siku moja baada ya kumalizika tamasha hilo.
makabidhiano ya nyumba 14 ndogo,kubwa tatu na viwanja 35 vilivyopimwa
utafanyika Julai 16 siku moja baada ya kumalizika tamasha hilo.
Alisema kuanzia sasa wanachama wanaotaka kujenga nyumba zao wenyewe
wawasiliane na Shiwata ili wapewe maelekezo na utaratibu wa kufanya usafi
kwenye makazi yao.
wawasiliane na Shiwata ili wapewe maelekezo na utaratibu wa kufanya usafi
kwenye makazi yao.
Mwenyekiti alisema utaratibu wa kulipia umeme kupitia mpango wa umeme
vijiijini (REA)unaendelea na mikakati ya kukarabati barabara ya kufika
kijijini unafanyika.
vijiijini (REA)unaendelea na mikakati ya kukarabati barabara ya kufika
kijijini unafanyika.
Post a Comment