WANAFUNZI WAKIPATIWA ELIMU KUHUSU BUNGE KATIKA MAONYESHO YA NANE NANE MJINI DODOMA
Afisa Habari (Itifaki) wa
Bunge, Ndg. Patson Sobha (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa Shule ya
Sekondari Miyuji walipotembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane
nane yanayoendelea Mjini Dodoma.
Afisa Habari (Itifaki) wa Bunge, Ndg. Patson Sobha akizungumza na wageni Mbali mbali waliotembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Afisa Habari (Itifaki) wa Bunge, Ndg. Patson Sobha akizungumza na wageni Mbali mbali waliotembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Post a Comment